Ijumaa, 8 Aprili 2016

UNAWEZAJE KUTENGENEZA BWAWA LA KUFUGIA SAMAKI?


Zipo namna mbalimbali za utengenezaji wa bwawa la samaki, kulingana na aina ya bwawa lenyewe.
Aina ya bwawa la kufugia samaki.
  • Bwawa la kuchimba udongo bila kujengea "Earthen Pond" ambalo litakuwepo mahali ambapo udongo unaruhusu kutuwamisha maji. Mara nyingi kuta zake hushindiliwa na kupandwa nyasi ili kupunguza nguvu ya maji kasababisha mmomonyoko wa udongo. 


  • Bwawa la kuchimba udongo bila kujengea "Earthen Pond" ambalo litakuwepo mahali ambapo udongo hauruhusu kutuwamisha maji, litatandikwa Karatasi la "Nylon"/"Polythene sheet" ili kuzuia maji yasipotee ardhini. 
  •  

  • Bwawa la kuchimba udongo na kujengea kwa Matofali, Cementi na Zege;
  • Kwenda chini ya ardhi "Earthern concrete pond"
  • Kwenda juu ya ardhi "Raised Conrete Pond" 













Je, unalo eneo linalofaa kwa ajili ya ufugaji wa samaki? Wasiliana nasi kwa namba 0655637026 , Upate Msaada na Ushauri wa Kitaalam.

SAMAKI KAMBALE WA KUFUGWA WANAUZWA

Habari ya leo wapendwa wasomaji wa Blog ya UFUGAJI BORA WA SAMAKI.
Ni matumaini yangu hamjambo na kazi ya ujenzi wa taifa la Tanzania inaendelea vyema.
Mbali na hilo, Yupo Mdau Mwenzetu, aliye pandikiza samaki aina ya Kambale na kuwafuga mpaka wamefikia hatua ya kuvunwa, waende sokoni.
Samaki hao wana wastani wa 1.5kg mpaka 2.0 Kg. Anauza kila 1Kg kwa Tsh.8000/=.
Hivyo basi nawashirikisha nanyi kumuunga Mkono ili ayaone matunda ya kazi aliyo ifanya, katika uzalishaji wa chakula bora na ujenzi wa Taifa lake. Yupo Kimara Korogwe karibu na kanisa la KKKT Kimara, Mawasiliano yake ni 0754426256, au Nipigie 0655637026 kwa Maelekezo Zaidi.
KARIBUNI