Jumatano, 15 Februari 2017

"BIOSECURITY" ina umuhimu gani kwenye shamba lako?

Click link hii ili Uifunze hapa umuhimu wa usalama wa mazingira ya kufugia samaki (Biosecurity).




 


Kutokana na kuongezeka kwa Magonjwa ya Samaki katika nchi zinazotuzunguka zikiwemo Congo, Zambia, Msumbiji, Namibia, Angola na Afrika ya kusini,  kuna umuhimu wa kuweka Mikakati ya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa yasiyo na Mipaka kaingia na kuleta madhara. Maelezo haya yametolewa na Dr. Hamis Nikuli Mtaalamu wa Afya na tiba kwa Viumbe wanaofugwa kutoka Idara ya Ukuzaji viumbe Kwenye Maji-Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni