Jumatatu, 13 Februari 2017

SEMINA JUU YA USALAMA WA MAZINGIRA YA KUFUGIA SAMAKI NA MAGONJWA YA SAMAKI




Pichani chini ni Washiriki wa Semina ya Usalama wa Mazingira ya Kufugia Samaki na Magonjwa, Zaidi ya Mameneja kumi kutoka mashamba mbalimbali ya samaki likiwemo shamba la EDEN AGRI-AQUA CO.LTD walishiriki.

Kaimu Katibu Mkuu sekta ya Uvuvi Dr. Erasto Mosha alifungua Semina hiyo na kuwaasa washiriki kuzingatia kitakachofundishwa kwakuwa Ufugaji wa Samaki ni biashara inayolipa hapa nchini.

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni