Hii ilikuwa ni ziara ya kumtembelea mdau wa ufugaji wa samaki EDEN AGRI AQUA FARMING LTD, ambaye amejikita katika kuzalisha vifatanga vya samaki aina ya Sato na Kambale.
Yupo Dar-es-salaam maeneo ya Pugu Kinyamwezi.
Kama unahitaji vifaranga vya samaki wanapatikana kwao.
Je na wewe unahitaji kujiunga na fani hii?
Wasiliana nasi kwa 0655637026 kwa maelezo zaidi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni