Ijumaa, 8 Aprili 2016

SAMAKI KAMBALE WA KUFUGWA WANAUZWA

Habari ya leo wapendwa wasomaji wa Blog ya UFUGAJI BORA WA SAMAKI.
Ni matumaini yangu hamjambo na kazi ya ujenzi wa taifa la Tanzania inaendelea vyema.
Mbali na hilo, Yupo Mdau Mwenzetu, aliye pandikiza samaki aina ya Kambale na kuwafuga mpaka wamefikia hatua ya kuvunwa, waende sokoni.
Samaki hao wana wastani wa 1.5kg mpaka 2.0 Kg. Anauza kila 1Kg kwa Tsh.8000/=.
Hivyo basi nawashirikisha nanyi kumuunga Mkono ili ayaone matunda ya kazi aliyo ifanya, katika uzalishaji wa chakula bora na ujenzi wa Taifa lake. Yupo Kimara Korogwe karibu na kanisa la KKKT Kimara, Mawasiliano yake ni 0754426256, au Nipigie 0655637026 kwa Maelekezo Zaidi.
KARIBUNI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni